PPC YAFANYA MKUTANO MKUU MAALUM NA KUPITISHA MAAZIMIO 10 YA MKUTANO MKUU MAALUM WA UTPC.
NA ABDI SULEIMAN. MWENYEKITI Mstaafu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Pemba (PPC) Said Mohamed Ali, amewakumbusha wanachama wa klabu hiyo wasikubali kuandika habari kwa utashi wa mtu au kwa kupewa maelekezo, badala yake kufuata kanuni na maadili ya taaluma yao. Alisema waandishi wa habari ni watu mashuhuri duniani, hivyo wanapaswa kufuata taaluma kwa kuandika…