HABARI PICHA: Zanzibar yapokea chanjo ya Covid 19 ya Sinovac kutoka China
Chanjo ya COVID-19 aina ya SINOVAC iliyopokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Abeid A. Karume Zanzibar na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban kwa niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui ikiwa ni msaada kutoka China
Chanjo ya COVID-19 aina ya SINOVAC iliyopokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Abeid A. Karume Zanzibar na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban kwa niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui ikiwa ni msaada kutoka China
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban (kushoto) akipokea Chanjo COVID-19 ya aina ya SINOVAC kwa niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui kuto...