SALAMU ZA RAMBIRAMBI

SALAMU ZA RAMBIRAMBI Uongozi wa Klabu ya waandishi wa Habari Pemba (Pemba Press Club – PPC) tunatoa salamu za rambirambi kwa familia ya  mjane wa Hayati, Rais Magufuli, Mama Janeth Magufuli, watoto, ndugu na jamaa kwa  kuondokewa na mpendwa wao na wananchi wote wa Tanzania kwa pigo hili kubwa. Ni msiba mzito ambao hatukutarajia, sote tunafahamu jinsi…

Rais wa UTPC atua PPC

Viongozi wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini wametakiwa  kuwa na mashirikiano ya kutosha na wanachama wa vilabu hivyo ili waweze kutumikia wananchi  kwa ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Rais wa  Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari Tanzinia   (UTPC ) Deogratias  Nsokolo wakati alipokuwa akizungumza na uongozi wa Klabu ya Waandishi wa habari…