PPC waadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari Pemba.

IMEANDIKWA NA HAJI NASSOR, PEMBA WAANDISHI wa habari kisiwani Pemba, wamekumbushwa kuwa, iwapo wataandika habari bila ya upendeleo, zinakuwa daraja la kufikia maendeleo ya kweli kwa jamii iliyowazunguruka. Kauli hiyo imetolewa na Katibu tawala mkoa wa kaskazini Pemba Khatib Juma Mjaja, alipokuwa akizungumza na waandishi hao na wadu wao, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa Maktaba…

PPC wamlilia Magufuli.

  NA ABDI SULEIMAN. KLABU ya Waandishi wa habari Kisiwnai Pemba (PEMBA PRESS CLUB) imesema Tanzania imompoteza kiongozi shupavu aliyekuwa mstari wambele kutetea haki za wanyonge na walemavu. Hayo yameelzwa na Mwenyekiti wa Klabu hiyo Bakari Mussa Juma wakati alipokua akisaini kitabu cha Maombolezo ya aliyekua Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Dkt.Jaohn…

SALAMU ZA RAMBIRAMBI

SALAMU ZA RAMBIRAMBI Uongozi wa Klabu ya waandishi wa Habari Pemba (Pemba Press Club – PPC) tunatoa salamu za rambirambi kwa familia ya  mjane wa Hayati, Rais Magufuli, Mama Janeth Magufuli, watoto, ndugu na jamaa kwa  kuondokewa na mpendwa wao na wananchi wote wa Tanzania kwa pigo hili kubwa. Ni msiba mzito ambao hatukutarajia, sote tunafahamu jinsi…

Rais wa UTPC atua PPC

Viongozi wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini wametakiwa  kuwa na mashirikiano ya kutosha na wanachama wa vilabu hivyo ili waweze kutumikia wananchi  kwa ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Rais wa  Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari Tanzinia   (UTPC ) Deogratias  Nsokolo wakati alipokuwa akizungumza na uongozi wa Klabu ya Waandishi wa habari…