MAKALA: MAABARA ya Afya ya Jamii Pemba kuwekwa vifaa vipya, vinaweza kutambua sababu za magonjwa mengi.
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
“HAKUNA haja sasa ya kwenda Tanzania bara kupeleka vipimo, kwani vifaa vilivyofungwa hapa Maabara ya Afya Jamii Wawi, vina uwezo mkubwa,’’anaeleza waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui.
Anaeleza kuwa, zipo baadhi ya sampuni ambazo zilitarajiwa kufanyiwa uchunguuzi ndani ya maabara hiyo, ingawa hapo awali ilishindikana kwa kutokuwepo mashine zenye uwezo.
(more…)