Friday, June 2

Makala

MAKALA: MAABARA  ya Afya ya Jamii Pemba kuwekwa vifaa vipya, vinaweza kutambua sababu za magonjwa mengi.
afya, Makala

MAKALA: MAABARA ya Afya ya Jamii Pemba kuwekwa vifaa vipya, vinaweza kutambua sababu za magonjwa mengi.

      NA ABDI SULEIMAN, PEMBA “HAKUNA haja sasa ya kwenda Tanzania bara kupeleka vipimo, kwani vifaa vilivyofungwa hapa Maabara ya Afya Jamii Wawi, vina uwezo mkubwa,’’anaeleza waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui. Anaeleza kuwa, zipo baadhi ya sampuni ambazo zilitarajiwa kufanyiwa uchunguuzi ndani ya maabara hiyo, ingawa hapo awali ilishindikana kwa kutokuwepo mashine zenye uwezo. (more…)
Pemba’s newly Installed laboratory equipment can detect causes of many diseases
afya, Makala

Pemba’s newly Installed laboratory equipment can detect causes of many diseases

ABDI SULEIMAN, PEMBA “THERE  is no need to send the samples collected in Pemba to Dar es Salaam medical facilities because the equipment installed in the new Pemba public health laboratory have good capacity to detect signs of health and disease, explains the minister for health in Zanzibar”, Nassor Ahmed Mazrui. I remember an incident when one of the relatives passed away while awaiting for the medical results following the examination which took more than a week before the results came out. (more…)
MAKALA : UFUGAJI WA MAJONGOO YA BAHARI NA FAIDA ZAKE .
Makala

MAKALA : UFUGAJI WA MAJONGOO YA BAHARI NA FAIDA ZAKE .

THUREYA GHALIB - PEMBA.   NENO Uchumi wa Buluu likitamkwa linaleta  faraja kwa kila Mwananchi wa Zanzibar,kwani wengi wao wanalitafsiri kama ni ukombozi wa kiuchumi unaotokana na vilivyomo ndani ya Bahari. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk, Hussein Ali Mwinyi ameunda Wizara maalum ya uchumi wa Buluu, ilikuweza kuwasaidia wananachi wake na kuinua uchumi wa Nchi. Inaaminika kwamba Bahari ni moja ya eneo kubwa lenye rasilimali nyingi lakini bado halijawahi kutumika vilivyo na hivyo kuwafanya wananchi kubakia kwenye Umaskini wakati nyenzo za kuondokana zimo mikononi mwao. Kwa kuliona hilo  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ameianzisha Wizara ya  uchumi wa buluu tu ,kwa   dhamira kubwa ikiwa kuwakomboa...
UJENZI NJIA ZA WANYANAMA PORI ‘SHOROBA’ KILOMBERO
hifdhi na utalii, Makala, MAZINGIRA

UJENZI NJIA ZA WANYANAMA PORI ‘SHOROBA’ KILOMBERO

  UJENZI NJIA ZA WANYANAMA PORI ‘SHOROBA’ KILOMBERO -Wananchi waramba fidia walioathiriwa na ujenzi ‘STEP’ yawaanzishia vikoba 250 kubadili maisha yao NA ABDI SULEIMAN, PEMBA “HAIKUWA kazi rahisi, kuwaelimisha wananchi mapaka kukubali, kutoa maeneo yao, kwa ajili ya ujenzi wa njia za wanyama pori ‘Shoroba’ na sasa imeshajengwa,’’ anasem Meneja Mpango wa kuhifadhi Tembo kusini mwa Tanzania ‘STEP’ Joseph Mwalugelo. Shoroba ni njia maalum, ambayo hupitwa na wanyama pori kutoka eneo moja kwenda jingine. (more…)
HIFADHI YA TAIFA YA UDZUNGWA -Inyohifadhi miti aina 2500, wanyama aina 12 ni kivitio cha watalii
hifdhi na utalii, Kitaifa, Makala, MAZINGIRA

HIFADHI YA TAIFA YA UDZUNGWA -Inyohifadhi miti aina 2500, wanyama aina 12 ni kivitio cha watalii

                 HIFADHI YA TAIFA YA UDZUNGWA   -Inyohifadhi miti aina 2500, wanyama aina 12 ni kivitio cha watalii  -Maporomoko yake ya maji ndio chanzo cha uzalishia umeme wa Kidatu NA ABDI SULEIMAN, PEMBA Ni eneo tulivu likiwa na mazingira mazuri ya kuvutia, hali ya hewa yenye ubarid baridi ndani yake, huku sauti za wanyama mbali mbali zikisikika, ikiwemo ndege na Kima. Sauti ya maporomoko ya maji yakisikika kwa ukaribu kutoka ndani ya maporomoko ya maji yaliyoko ndani ya hifadhi hiyo ya milima ya Udzungwa. (more…)