SERIKALI YA ZANZIBAR ITASIMAMIA SERA YA FILAMU ILI KUWEKA MAZINGIRA BORA YA KUKUZA UTAMADUNI – MHE.OTHMAN
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itatetengeneza na kusimamia Sera ya Filamu itakayohakikisha kukua kwa utamaduni na kusaidia kuweka mazingira bora ya uwekezaji utakoimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na mataifa mengine.
(more…)