Monday, May 20

Utamaduni

WHVUM inapaswa kusimamia uchezaji wangoma za uchi katika maeneo ya hoteli za kitalii.
Utamaduni

WHVUM inapaswa kusimamia uchezaji wangoma za uchi katika maeneo ya hoteli za kitalii.

  NA ABDI SULEIMAN, PEMBA WAJUMBE wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wamesema kuwa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar, inapaswa kusimamia uchezaji wangoma za uchi katika maeneo ya hoteli za kitalii, ili kunusuru kupotea kwa maadili ya kizanzibari. Wamesema nchi ina uwekezaji wa hoteli mbali mbali na ngoma nyingi zimekua zikichezwa usiku uchi, jambo ambalo linaleta athari kubwa kwa jamii iliyozungukwa na hoteli hizo na taifa kwa ujumla.   Hayo yameelezwa na wajumbe wa kamati hiyo, wakati wakichangia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya baraza la Sanaa, sensa ya filam na utamaduni, kipindi Cha robo ya kwanza kuanzia Julai hadi Septemba 2023, Kwa wajumbe wa kamati hiyo huko katika ukumbi wa wizara ya habari Gombani....
KAMISHNA WAKULYAMBA AITAKA MAKUMBUSHO YA TAIFA KUFANYA UTAFITI WA MALIKALE
Utamaduni, UTLII

KAMISHNA WAKULYAMBA AITAKA MAKUMBUSHO YA TAIFA KUFANYA UTAFITI WA MALIKALE

Naibu Katibu, Maliasili na Utalii, Kamishna Benedict Wakulyamba ametembelea maeneo ya  Malikale ya Mbuamaji na Kimbiji, Kigamboni jijini Dar es Salaam na kuitaka Makumbusho ya Taifa la Tanzania kufanya utafiti zaidi juu ya malikale zote  zinazopatikana katika maeneo hayo. Kamishna Wakulyamba ametoa agizo hilo leo  alipokuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Makumbusho ya Taifa. Amesema ni muhimu utafiti wa kina ufanyike ili kuweza kupata taarifa sahihi za malikale hizo, ambazo zitasaidia katika kuandaa ufasili wa malikale hizo. " Fanyeni utafiti na kuweka maelezo ili anayetembelea aweze kuelewa" Amesema Kamishna Wakulyamba. Naibu Katibu Mkuu ametembelea kituo cha taarifa na kumbukumbu M...
Uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar
Utamaduni

Uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Tabia Maulid Mwita amesema uhuru wa utamaduni ni muhimu katika kujenga na kudumisha hali za uvumilivu na heshima kwa jamii. Tabia aliyasema hayo wakati akizindua tamasha la 28 la utamaduni wa Mzanzibari katika viwanja vya Mao Zedong mjini Unguja. Alisema ni vyema kuhakikisha tamaduni zinatumika katika kusaidia pamoja na kuziunganisha jamii mbali mbali za ndani na nje . Alieleza kwamba baadhi ya watetezi wa uhuru wa kiutamaduni wanalenga na kutetea kufuatwa kwa maadili yasiofungamana vyema na mila ambazo wakati mwengine mambo hayo huvunja sheria za kimaadili na hata sheria za nchi zilizopo. Aliwataka wasanii kuwa na tahadhari kubwa katika kuandaa filamu zao kutokana na wao kuwa ni kioo cha jamii. Tabia alisema kuimarisha maend...
NGWARE ni michezo wa asili ndani ya Wilaya ya Micheweni
Makala, Michezo, Utamaduni, UTLII

NGWARE ni michezo wa asili ndani ya Wilaya ya Micheweni

  NGWARE ni michezo wa asili ndani ya Wilaya ya Micheweni Wachezaji hujiandaa kwa kunywa mtindi Tayari umeshajizoelea mashabiki wengi ndani ya wilaya hiyo NA ABDI SULEIMAN, PEMBA NGWARE ni Kupinga mtu mtama naweza kusema hivyo kwa upande mmoja, upande wa pilia ni mchezo unaotumia miguu na mikono katika uchezaji wake. (more…)