Monday, May 20

Kitaifa

VIDEO: Viongozi wa dini, MC wapewa darasa na BOT.
Kitaifa

VIDEO: Viongozi wa dini, MC wapewa darasa na BOT.

NA KHADIJA KOMBO - PEMBA  Benki kuu ya Tanzania BOT imewaomba Viongozi wa Dini pamoja na washereheshaji katika sherehe mbali mbali kutumia nafasi zao katika kuwaelimisha  wananchi juu ya kutunza  fedha  ili kuepusha hasara   ya kutengeneza sarafu hizo mara kwa mara. Wito huo umetolewa na Meneja Msaidizi Kitengo cha Sarafu Benki Kuu   makao makuu madogo Zanzibar  Suleiman  Khalfan  Rajab  huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Chake Chake wakati alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Dini pamoja na washereheshaji (MC) katika shughuli mbali mbali Kisiwani Pemba juu ya namna ya kutunza fedha pamoja na kuzitambua alama muhimu zilizomo katika noti ili kuzifahamu noti bandia. amesema hivi sasa wananchi wamekuwa na mtindo wa kuharibu fedha   kwa makusudi   hasa  wa...
Profesa Mnyaa azindua Ofisi za Kikosi cha KMKM na Chuo Cha Mafunzo Wete.
Kitaifa

Profesa Mnyaa azindua Ofisi za Kikosi cha KMKM na Chuo Cha Mafunzo Wete.

NA ABDI SULEIMAN, PEMBA WAZIRI wa Uchukuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, amesema utekelezaji wa mradi wa Ofisi Kikosi cha KMKM na Chuo Cha Mafunzo Wete, ni jambo la faraja katika suala zima la kuimarisha ulinzi na usalama, katika ukanda huu kwa sababu utawezesha kupunguza biashara  haramu za magendo mbali mbali. Alisema ujenzi huo utasaidia kuzuia uharibifu wa mazingira ya bahari, pamoja na kuzuia uhamiaji haramu katika eneo hili, jambo ambalo litasaidia kuimarisha usalama wa Taifa na uchumi kwa ujumla. Hayo yameelezwa katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Lela Mohamed Mussa, mara baada ya kufungua Hanga, Ofisi za Utawala za KMKM na Ofisi ya Kamanda Mkuu zoni ya Pemba Chuo cha Mafunzo huko...
Waziri Dkt.Khalid aweka jiwe la msingi hanga la askari wa Zimamoto na Uokozi Finya.
Kitaifa

Waziri Dkt.Khalid aweka jiwe la msingi hanga la askari wa Zimamoto na Uokozi Finya.

  NA ABDI SULEIMAN, PEMBA  WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt.Khalid Salum Moh’d, amesema kikosi cha Zimamoto na uokozi ni muhimu sana nchini na duniani kote, na vinapewa haeshama kubwa kutokana na kukabiliana  na majanga mbali mbali ikiwemo ya kimaumbile na yasio kua ya kimaumbile. Alisema serikali ya Mpainduzi ya Zanzibar nayo imeamua kukipa heshima kubwa kikosi hicho, kutokana na kazi zao nzuri na ngumu wanazozitoa za uokozi. Waziri Dkt.Khalid aliyasema hayo wakati alipokua akizungumza na wananchi, askari wa Vikosi vya ulinzi na usalama, mara baada ya kuzindua na kuweka jiwe la msingi Hanga la askari wa kikosi hicho. “Wanafanyakazi kubwa kwenda kuoa watu au mali pale panapotokea majanga yoyote, wanakila sababu ya kupewa msaada unaostahiki kutok...