ZSTC YAWATAKA WANANCHI KUACHA KUNUNUA, KUUZA KARAFUU KINYUME NA UTARATIBU
NA HANIFA SALIM, PEMBA
MKURUGENZI Mwendeshaji wa shirika la taifa la Biashara la (ZSTC) Soud Said Ali, amewataka wananchi kuacha mara moja suala la ununuaji wa karafuu mitaani, kwani ZSTC haijalala na itamchukulia hatua mtu yoyote atakaebanika.
(more…)