Saturday, July 27

Kitaifa

WADAU WATAKIWA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA KUPIGA VITA MATUMIZI DAWA ZA KULEVYA ZANZIBAR.
afya, Kitaifa

WADAU WATAKIWA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA KUPIGA VITA MATUMIZI DAWA ZA KULEVYA ZANZIBAR.

   PEMBA Amref Tanzania kupitia ufadhili wa Kituo cha Serikali ya Marekani cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) Tanzania) wameunga na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kupitia Wizara ya Afya Zanzibar, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya Zanzibar (ZDCEA), Wadau na Wataalam mbalimbali katika Kongamano la kujadili mipango na mikakati ya kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya Zanzibar Tanzania. (more…)