Monday, May 20

Michezo

Bonanza la Michezo kwa taasisi za Serekali lazinduliwa kisiwani Pemba.
Kitaifa, Michezo

Bonanza la Michezo kwa taasisi za Serekali lazinduliwa kisiwani Pemba.

YOTE HII NI KASI YA DR. MWINYI ,BONANZA LA MICHEZO LINAWEZEKANA. Na Maryam Taalib - -Pemba. MKUU wa Wilaya ya Chake Chake  Abdalla Rashid  amewataka watendaji wa Taasisi pamoja na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa  kuimarisha afya zao kupitia michezo tofauti  ili kuondokana na kupata maradhi hatarishi. Ameyasema hayo wakati akizindua Bonanza  la michezo  katika uwanja wa Gombani Kongwe Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba ikiwa ni katika heka  heka za kusherehekea kwa kutimiza miaka (60) ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Alisema  amefarajika kwa kiasi kikubwa kuona wanataasisi wamejitokeza kwa wingi katika mashindo hayo ya michezo tofauti tofauti. Hata hivyo Mkuu wa Wilaya alimpongeza  Ofisa  Mdhamini Wizra ya Habari Vijana Utamaduni  na Michezo Pemba M...
RC Matar amewataka Wakandarasi wa Uwanja wa Mpira Gombani kuendana na muda waliopangiana kumalizia ukarabati.
Michezo

RC Matar amewataka Wakandarasi wa Uwanja wa Mpira Gombani kuendana na muda waliopangiana kumalizia ukarabati.

Na Maryam Talib - Pemba.  MKUU wa Mkoa Kusini Pemba Matar Zahor Masoud amewataka Wakandarasi wa Uwanja wa Mpira Gombani waendelee kufanya kazi kwa bidii kwa lengo la kuendana na muda waliopangiana kumalizia ukarabati huo. Mkuu huo wa Mkoa aliyasema hayo alipokuwa akifanya ziara ya ukaguzi wa ukarabati wa uwanja huo wa Gombani uliopo Mkoa wa Kusini  Pemba Wilaya ya Chake Chake . Amesema kazi iliyofanywa na wakandarasi hao ni kubwa lakini bado inahitajika juhudi za ziada kuweza kuukamilisha kwa wakati na kuweza kuutumiwa kwa sherehe za Mapinduzi kama ilivyokusudiwa. “Kwenye hili naomba wakandarasi muwe wakweli tujue kitu cha kushika mana tarehe tulizokusudia kuzindua haziko mbali’ alisema Mkuu wa Mkoa. Hata hivyo aliutaka uongozi wa Wizara ya Habari na wakandarasi kusimam...
SMZ itaendelea kuipa kipaombele Sekta ya Michezo hasa michezo Jumuishi.
Michezo

SMZ itaendelea kuipa kipaombele Sekta ya Michezo hasa michezo Jumuishi.

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuipa kipaombele Sekta ya Michezo hasa michezo Jumuishi ili kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu na wasio na ulemavu kujumuika pamoja katika kujifunza na kushiriki katika michezo mbali mbali pasipo na utenganishi miongoni mwao. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo katika Hutuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla wakati akifungua Warsha ya Kimataifa kuhusu Skuli na Michezo Jumuishi katika Ukumbi wa Hotel Verde Mtoni jijini Zanzibar. Amesema kuwepo na Michezo Jumuishi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum kutasaidia kukuza na kuhuisha ushiriki wa watu wenye ulemavu hususan ulemavu wa akili kwenye mashindano mbali mbali ya mi...