KAMISHNA Awadhi atoa muarubaini kwa mashahidi wanaokataa au kutoa ushahidi wa uongo kesi za udhalilishaji Pemba
NA KAILANI JUMA .
KAMISHNA wa Polisi Zanzibar Awadhi Juma Haji Amemuagiza kamanda wa polisi Mkoa wa kusini Pemba, kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya sheria, Mashahidi ambao hawakutaka kutoa Mashirikiano ama kutoa ushahidi wa uongo katika kesi za udhalilishaji Mkoani humo.
Amesema Kuna kesi ambazo hazikuendelea mahakamani kutokana na mashindi kushindwa kwenda kutoa ushahid na wengine kutoa ushahid usio kuwa wakweli wanapo kuwa mahakamani tofauti na wanaporipoti kesi hizo Hivyo sasa kesi hizo zitafuatiliwa na Kila ambaea kafanya Hivyo atachukuliwa Sheria
Kamishina Awadhi ametoa magizo hayo Huko makao makuu ya polis mkoa wa kusini Pemba akizungumza na masheha na askari shehia wilaya ya chake chake.
amesema jeshi la polis halitasita kuwachukulia hatua wale wote wanao...